Search This Blog
Wednesday, April 22, 2020
Je Wajua Kwa Nini Malkia Elizabeth Husherehekea Siku Yake Ya Kuzaliwa Mara Mbili
Leo Tarehe 21 April Malkia wa Uingereza Elizabeth amesherehekea miaka 94 ya kuzaliwa kwake lakini cha kushangaxa kwa wengi ni kwamba sherehe hii ya sasa haiwahusu raia wakawaida
Kwa kawaida Malkia anakuwa anasherehekea siku hii mara mbili kwa mwaka moja ambayo ni siku yake ya kawaida yaani Tarehe 21 April na nyingine huwa ni mwezi mei
Sababu kubwa ya Malkia Elizabeth Kuwa na siku mbili za kuzaliwa kwa mwaka ni kwamba kwa kawaida tarehe aliyozaliwa malkia kwa nchi ya Uingereza hali ya hewa huwa ni ya mvua na hayaruhusu watu kushereheka hivyo mnamo miaka ya 1750 taifa hilo liliamua kuwa na sherehe hiyo mara mbili wananchi nao wafurahi na kiongozi wao
Sherehe za mwezi wa nne kwa kawaida huwa na maandamano ya gwalide kwa malkia pamoja na wanafamilia wote wa ukoo wa kifalne lakini sherehe za mwaka huuhaitafanywa hivyo kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment