Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA baada ya kuwa katika hali ya sintofahamu kwa vilabu mbalimbali vya soka kutokana na kusimama kwa Ligi huku baadhi ya wachezaji wao wakiwa wanamaliza mikataba.
Leo limetoa ufafanuzi, vilabu ilikuwa vinawaza kama Ligi awali kabla ya kusimama kwa sababu ya mlipuko wa virusi vya corona ilikuwa imalizike May na wachezaji wengine walikuwa wanamaliza mikataba yao mwisho wa mwezi Mei kwahiyo msimu wangemaliziaje?
FIFA imeeleza kuwa kutokana na changamoto iliyojitokeza ni wazi sasa wataruhusu kuwa ili mkataba wa mchezaji na klabu uhesabike umemalizika kwa msimu huu, Utahesabika pale tu msimu wa mashindano 2019/2020 utakuwa umemalizika.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment