Search This Blog

Monday, March 23, 2020

Z Anto Afunguka "Binti Kiziwi Tangu Atoke Gerezani China Hawezi Kulala"


HATUNA HISIA ZA KIMAPENZI, TUNASAIDIANA.. "Binti Kiziwi tangu atoke gerezani hawezi kulala kutokana na aina ya maisha aliyokuwa akiishi huko jela, hadi akae sawa itachukua muda na tangu tumekutana hatuko katika hisia za kimapenzi ila tunasaidiana kimaisha tu" Ameyasema hayo Z ANTO

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...