Search This Blog

Monday, March 23, 2020

RAIS Museven Awashukia Wanafunzi "Hatuja Funga SHULE na Vyuo ili Mkumbatiane Huku Mitaani"

Kauli ya Rais Museven wa Uganda:

“Kwa wanafunzi narudia hatujafunga shule au vyuo ili mukapuyange huko mitaani, maana nashanga tumefunga ili mtulie nyumbani ila kila siku nawakuta mitaani mnahangaika mara mkumbatiane na kujiachia, kama hamuogopi corona tuwarudishe muendelee na masomo”- RAISI MUSEVENI


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...