Search This Blog

Monday, March 30, 2020

Watu 3000 wamefariki kwa virusi vya corona Marekani

Corona bado ni pasua kichwa duniani na sasa taarifa za vifo kwenye Nchi ya Marekani pekee ni zaidi ya Watu 3000 wamefariki huku zaidi ya 1200 wakifia New York.

Idadi ya Wagonjwa kwa Marekani pekee ni zaidi ya laki moja na elfu sitini huku vifo vya corona dunia nzima vikizidi elfu thelathini na saba na Wagonjwa laki saba na elfu themanini na nne.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...