Search This Blog

Thursday, March 19, 2020

Wachezaji wa zamani wa Arsenal wakataa kukatwa mishahara

Wachezaji wa zamani wa Arsenal Johan Djourou na Alex Song ni miongoni mwa wachezaji 9 wa club ya Sion ya Uswiss walioachwa kwa sababu ya kukataa kukatwa mishahara yao kutokana na Ligi ya Uswiss kusimama sababu ya mlipuko wa virusi vya corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...