Search This Blog
Sunday, March 8, 2020
Uturuki yawaokoa wahamiaji 121 katika bahari ya Egean
Kikosi cha kulinda pwani cha Uturuki chawaokoa wahamiaji 121 katika bahari ya Egean.
Mzozo wa wahamiaji na wakimbizi mpakani mwa Uturuki na Ugiriki, kikosi cha kulinda pwani cha jeshi la Uturuki chafahamisha kuwaokoa wahamiaji na wakimbizi 121 katika bahari ya Egean.
Wahamiaji waliokwama majini waliotoa ishara ya kuomba msaada na kikosi hicho kutoa msaada katika bahari ya Egean walipokuwa wamekwama.
Wahamiaji hao walikwama walipokuwa katika boti katika mbali ya mita kadhaa na ardhi ya Çeşme mkoani Izmir upande wa Magharibi.
Mwanahabari wa shirika la Anadolu amefahamisha kwamba wakimbizi waliookolewa walikuwa wakielekea katika visiwa vya Ugiriki vinavyopatikana katika bahari ya Egean.
Taarifa nyingine imefahamisha kuwa maboti mengine yaliokolewa yalikuwa na raia wa Afghanistani 47, Syria 49 na 24 kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo mkoani Izmir.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment