Search This Blog
Tuesday, March 10, 2020
Rais Xi Jinping atembelea Wuhan mji ulioathirika zaidi na Corona
Rais wa China Xi Jinping ameutembelea mji wa Wuhan leo kwa mara ya kwanza tangu mji huo ulipokumbwa na janga la mlipuko wa virusi vya Corona mnamo mwezi Januari.
Ziara ya Xi imekuja baada ya hatua ya mji wa Wuhan na mkoa wa Hubei kuwekwa kwenye Karantini tangu mwishoni mwa mwezi Januari kuonesha kufanikiwa ambapo maambukizi mapya yamepungua kwa kiasi kikubwa katika kipindio cha wiki za karibuni.
Hata hivyo hatua ya Rais kutembelea Wuhan ambako ni kitovu cha maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona nchini humo ni dalili kubwa inayowafanya maaafisa kuamini kuwa mripuko huo umethibitiwa
Hatua iliyopigwa China ni kinyume na jinsi mgogoro huo unavyoendelea kutanuka duniani ambapo sasa unasambaa kwa kasi kubwa nje ya China na Itali imeanza kutekeleza hatua ya Karantini nchi nzima
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment