Search This Blog

Wednesday, March 18, 2020

Rais wa Uturuki ana matumaini katika mapambano dhidi ya virusi vya corona


Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan asema kuwa anayo matumaini katika mapambano dhidi ya virusi vya corona.

Recep Tayyıp Erdoğan asema kuwa anayo matumaini katika juhudi za kupambana  dhidi ya virusi vya corona.

Rais wa Uturuki amefahamisha kuwa serikali inayo mikakati  na hatuo  katika  sekta ya afya ambayo  itapelekea kudhibiti maambukizi ya virusi vya afya.

Rais Erdoğan ameonesha matumaini  ya kudhibiti  virusi vya corona wiki  chache zijazo iwapo hatua  zilizochukuliwa zitaheshimishwa.

Hayo rais wa Uturuki ameyazungumza  katika mkutano  uliofanyika  mjini Ankara.

Katika mkutano huo  rais Erdoğan ameendelea kufahamisha kuwa  idara husika  inafanya kila liwezekanalo  kuhakikisha  kutokomeza virusi vya corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...