Search This Blog

Wednesday, March 25, 2020

Rais Kenyatta apunguza mshahara wake ili kupambana na corona


Rais Kenyatta ametangaza kupunguza mshahara wake na wa Makamu wa Rais kwa 80%, huku Mawaziri wake na Makatibu wa kudumu wakipunguza kwa 30% . “nawaomba na Watumishi wengine waungane na sisi kupunguza kwa hiyari mishahara yao ili fedha zitumike kupambana na corona”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...