Search This Blog
Wednesday, March 25, 2020
Rais Kenyatta apunguza mshahara wake ili kupambana na corona
Rais Kenyatta ametangaza kupunguza mshahara wake na wa Makamu wa Rais kwa 80%, huku Mawaziri wake na Makatibu wa kudumu wakipunguza kwa 30% . “nawaomba na Watumishi wengine waungane na sisi kupunguza kwa hiyari mishahara yao ili fedha zitumike kupambana na corona”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment