Search This Blog

Wednesday, March 25, 2020

Kocha wa Yanga Mbelgiji Luc Eymael afunga ndoa kimya kimya

Kocha mkuu wa Yanga SC raia wa Ubelgiji Luc Eymael ameoa kimya kimya na baada ya hapo akaamua kutangaza kupitia ukurasa wake wa instagram.

Eymael kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika ujumbe unaoashiria kuwa amefunga ndoa kimya kimya ila hajafanya sherehe kwa sababu ya ulinzi wa kiafya kwa hofu ya virusi vya corona.


“Mambo ya kidunia yameingilia harusi kwa sababu za kiafya (corona), waliobaki watakuwepo kwa ajili ya wakati mwingine na watakaoalikwa watajulishwa”


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...