Search This Blog

Monday, March 23, 2020

Kansela wa Ujerumani apimwa virusi vya corona , majibu haya hapa


Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel apimwa virusi vya corona na  kukutwa akiwa salama. 

Msemaji wa Bi Angela Merkel amefahamisha kwamba atanfanyiwa vipimwa  kwa mara nyingine baada ya siku  chache zijazo.

Taarifa kuhusu Bi Merkel kufanyiwa vipimo na kutolewa kwa majibu zimetolewa na vyomba vya habari vya nchini Ujerumani Jumatatu.

Msemaji wa Bi Merkel , Steffen Seibert  amesema kuwa matokea ya vipimo alivyofanyiwa Merkel yameonesha kuwa hakuambukiwa virusi hivyo.

Merkel alijitenga Jumampili kwa hofu aliokuwanayo baada ya kukutana na daktari mmoja aliepimwa na kukutwa na virusi vya corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...