Moto mkubwa uliozuka katika soko maarufu la wafanyabiashara wadogo wadogo jijini Arusha umeteketeza nusu ya mali katika enao hilo ikwemo vibanda vya nguo na vitu ambapo mapaka sasa thamani ya mali hizo haijajulikana huku taaridfa za awali zikielezwa kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme
Gari ya zimamoto likiwa katika eneo la tukio
Baadi ya wananchi wakishuhudiwa na kujaribui kuokoa baadhi ya mali







No comments:
Post a Comment