Search This Blog

Thursday, March 19, 2020

Eti Pombe Inazuia Maambukizi ya Virusi vya Corona? Soma Hapa Mtu Wangu Ujue Ukweli



Kumekuwa na tetesi kwamba eti mtu akinywa pombe  hataweza kuambukizwa virusi hatari vya Corona.

Uvumi huo si kweli na Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi na kuwataka Watanzania wazingatie miongozo mbalimbali ya namna ya kujikinga na virusi hivyo inayotolewa na serikali.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...