Search This Blog
Thursday, March 19, 2020
Eti Pombe Inazuia Maambukizi ya Virusi vya Corona? Soma Hapa Mtu Wangu Ujue Ukweli
Kumekuwa na tetesi kwamba eti mtu akinywa pombe hataweza kuambukizwa virusi hatari vya Corona.
Uvumi huo si kweli na Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi na kuwataka Watanzania wazingatie miongozo mbalimbali ya namna ya kujikinga na virusi hivyo inayotolewa na serikali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment