Search This Blog

Sunday, March 22, 2020

Corona yamuua Rais wa zamani wa Real Madrid

Rais wa zamani wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Lorenzo Sanz amefariki dunia kwa virusi vya corona, Saz ,76, alikuwa Rais wa Real Madrid kwa miaka mitano (1995-2000).

Sanz ambaye 1998 aliiwezesha Real Madrid kucheza fainali ya kwanza ya michuano ya Ulaya baada ya miaka 32, kabla ya virusi vya corona alikuwa akisumbuliwa na tatizo la upumuaji na figo, kabla ya kulazwa kwa siku nane kwa homa kali ya corona na Jumanne hii aliruhusiwa kutoka hospitali

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...