Rais wa zamani wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Lorenzo Sanz amefariki dunia kwa virusi vya corona, Saz ,76, alikuwa Rais wa Real Madrid kwa miaka mitano (1995-2000).
Sanz ambaye 1998 aliiwezesha Real Madrid kucheza fainali ya kwanza ya michuano ya Ulaya baada ya miaka 32, kabla ya virusi vya corona alikuwa akisumbuliwa na tatizo la upumuaji na figo, kabla ya kulazwa kwa siku nane kwa homa kali ya corona na Jumanne hii aliruhusiwa kutoka hospitali
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment