Search This Blog

Monday, March 9, 2020

Chama amuangukia Fei Toto


Mchezaji wa Simba SC Clotous Chama amemuomba radhi mchezaji wa Yanga SC Feisal Salum kwa kumchezea rafu ya makusudi ambayo ingeweza kumtia jeraha kubwa katika mchezo wa derby jana.

Chama amekiri kitendo hicho hakikuwa cha kiungwana Simba ikipoteza 1-0.

“Nina huzuni tumepoteza lakini nataka niwahakikishie kwamba kilichotokea kati yangu na Feisal kilikuwa ni binafsi walasio kwa shinikizo la matokeo ya derby, binafsi nimeongea na Feisal na amekubali msamaha wangu”amesema Chama

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...