Search This Blog

Tuesday, March 31, 2020

Burundi imetangaza wagonjwa wawili wa kwanza wa corona

Burundi imetangaza wagonjwa wawili wa kwanza wa corona baada ya Nchi hiyo kutoripoti mgonjwa tangu kuanza kwa virusi hivyo, wagonjwa wote ni Wanaume Raia wa Burundi ambao wametokea Rwanda na Dubai

 “Tuna uchaguzi mkuu May 20,2020, hali ikizidi kuwa tete tunaweza kuusogeza mbele”

May 20 mwaka huu, Burundi itaingia kwenye uchaguzi mkuu wa Urais ambapo Rais Nkurunziza ambaye ameitawala Nchi hiyo kwa miaka 15 sasa tangu mwaka 2005, ameahidi kutogombea tena.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...