Hamisa Mobetto atamani kuwa mke wa nne wa Dkt Mwaka... Aonesha Hisia zake kwa kumpost Picha ya Dr Mwaka katika insta story yake, hii imekuja baada ya Dr Mwaka kuwa Gumzo wiki iliyopita baada ya kutambulisha wake zake wawili ambao wanapika chungu kimoja waswahili tunasema wanaiva mpaka kufikia kulala chumba kimoja na mme wao....
Katika Dini ya Uislamu mwanaume anaruhusiwa kuoa wake mpaka Wanne hivyo kama inampendeza Dr Mwaka anaweza futa jiko la nne
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment