Search This Blog

Sunday, February 23, 2020

Huu Ndio Muonekano Mpya wa Binti Kiziwi Baada ya Kutoka JELA nchini China Kwa Madawa ya Kulevya

Huo ni muonekano mpya wa Sandra Khan maarufu kama Binti Kiziwi baada ya kumaliza kifungo chake cha miaka 8 jela nchini China baada ya kukutwa na hatia ya kuingiza madawa ya kulevya nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa Binti Kiziwi alirudi Tanzania kimya kimya December 2019 baada ya kumaliza kifungo chake ndio maana hata mapaparazi walishindwa kujua mapema -
-
Z Anto ambaye ndie aliimba wimbo wa Binti Kiziwi na kumpa nafasi ya video queen iliyompa umaarufu, Ijumaa hii alimtembelea mrembo huyo anayeanza maisha mapya baada ya misukukosuko iliyompata

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...