Msanii mkongwe wa muziki wa Kizazi Kipya, Anselm Ngaiza maarufu kama Soggy Doggy amefiwa na baba yake mzazi Mzee Ngaiza usiku wa kuamkia leo.
Kupitia akaunti ya instagram ya Soggy ameposti picha akiwa na marehemu baba yake na kusema kuwa msiba utafanyika nyumbani kwao Mulele.
"Pumzika kwa amani baba yangu,nitakukumbuka daima 🙏🙏🙏 Mzee Ngaiza amefariki usiku wa leo na taarifa za awali msiba utakuwa nyumbani kwetu Mulela
Bwana ametoa,Bwana ametwaa jina lake libarikiwe"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment