Mwenyewe kwenye ukurasa wake wa instagram amepost picha hii na kuandika haya:
Page nyingine ya udaku iliandika haya hapa chini:
"Mmmh Hujafa hujaumbika Nabii @prophet_daniel_daniel_shillah amefanikiwa kukatwa Mguu baada ya Kupata Ajali akitokea Dodoma😭....Katika Ukurasa wake Amepost Picha Hiyo akiwa anauguza Mguu.. INASIKITISHA SANA!! " Udakutz

No comments:
Post a Comment