Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesema kuwa kwa usaidizi wa viongozi wa kidini nchini Humo amegundua kwamba, kulikua na makosa kwenye tarehe yake ya kuzaliwa na kwamba, hakuzaliwa 1943 kama alivyokua akiamini tangu awali bali amezaliwa mwaka 1947.
Hii itamruhusu kugombea urais mwaka 2021 maana umri wake utakuwa ni under 74 kama katiba inavyotaka mgombea urais asiwe na miaka 75.
Bunge la Uganda lilibadili katiba na kuweka ukomo wa umri wa mgombea urais uwe ni chini ya miaka 75 ili Museveni asigombee tena muhula mwingine
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment