Search This Blog

Saturday, February 1, 2020

Rais Museveni Kushirikiana na Viongozi wa Dini Agundua Kulikuwa na Makosa Tarehe yake ya Kuzaliwa

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesema kuwa kwa usaidizi wa viongozi wa kidini nchini Humo amegundua kwamba, kulikua na makosa kwenye tarehe yake ya kuzaliwa na kwamba, hakuzaliwa 1943 kama alivyokua akiamini tangu awali bali amezaliwa mwaka 1947.

Hii itamruhusu kugombea urais mwaka 2021 maana umri wake utakuwa ni under 74 kama katiba inavyotaka mgombea urais asiwe na miaka 75.

Bunge la Uganda lilibadili katiba na kuweka ukomo wa umri wa mgombea urais uwe ni chini ya miaka 75 ili Museveni asigombee tena muhula mwingine

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...