Search This Blog
Monday, February 17, 2020
Mnaigeria Aliyepata Umaarufu DUNIA Nzima Kwa Picha yake ya Kulia
Anaitwa Oladee kijana mzaliwa wa Nigeria. Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Ilorin nchini Nigeria
Mwaka 2009 Oladee alipata mkasa mkubwa ambapo baadaye mkasa huo ukamfanya kuwa mtu maarufu. Alipewa Naira 200 sawa na Tsh. 1,200 na bibi yake kununulia mahitaji ya chakula
Aliongozana na rafiki yake aliyemshawishi acheze Kamari. Hela yote aliyopewa ikaliwa kwenye kamari (bet), hapo bwana Oladee alipoanza kulia ili arudishiwe hela yake
Walimpiga picha na kichwa chake kinatumika kwa kupachikwa kwenye picha tofauti tofauti za kuchekesha
Watu wanamwita kichwa kinachotembea bila 'passport' kwa sababu picha yake hii imesambaa Dunia nzima na watu wanaihariri ‘edit’ kwa kuifanyia vituko
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment