Search This Blog

Monday, February 17, 2020

Rwanda: Wanaharakati wataka uchunguzi wa kina kufuatia kifo cha Mihigo




Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yanataka serikali ya Rwanda kuruhusu uchunguzi huru na wa kina kuhusiana na kifo cha mwanamziki maarufu wa nyimbo za injili na maridhiano nchini humo, Kizito Mihigo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...