Rwanda: Wanaharakati wataka uchunguzi wa kina kufuatia kifo cha Mihigo
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yanataka serikali ya Rwanda kuruhusu uchunguzi huru na wa kina kuhusiana na kifo cha mwanamziki maarufu wa nyimbo za injili na maridhiano nchini humo, Kizito Mihigo.
No comments:
Post a Comment