Search This Blog
Monday, February 3, 2020
Mbunge Aomba Serikali Kuruhusu Biashara ya Bangi, Ndugai Apigilia Msumari
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu Wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.
Amesema, wapo Wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kumuomba waliolima wapewe msamaha wa miezi sita ili wauze kabla soko la zao hilo kuporomoka
Mbunge huyo ambaye mara kadhaa amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho akidai kina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania, ametoa kauli hiyo leo.
Baada ya kauli hiyo, Spika Job Ndugai ameisihi Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment