Search This Blog
Monday, February 24, 2020
Mastaa wafulika siku ya kuwakumbuka na kusherekea maisha ya Kobe Bryant na mwanaye
Marekani Kwenye ukumbi maarufu wa Staples Center uliopo mjini Los Angeles ambao unaingiza watu 20,000, imefanyika shughuli ya kuwakumbuka na kusherekea maisha ya marehemu Kobe Bryant na binti yake Gianna.
Katika shughuli hiyo wamehudhuria watu maarufu mbali mbali wakiwemo mastaa wa muziki, movie na hata wachezaji wa mchezo wa Basketball ambao wamefika katika ukumbi huo uliowahi kutumika kuwaaaga baadhi ya watu maarufu waliotangulia mbele za haki kama Michael Jackson, Nipsey Hussle na wengine.
Kama utakumbuka Kobe Bryant na mwanae Gianna walizikwa February 7, 2019 kwa Siri, mazishi yalihudhuriwa na ndugu na jamaa wakaribu kisha wakaitenga siku ya leo kwaajili ya watu wengine kuwa kumbuka na kusherekea maisha ya Marehemu hao na Msanii aliyefungua kwa performance ni msanii Beyonce.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment