Search This Blog

Monday, February 24, 2020

Hii hapa ratiba ya Taifa Stars michuani ya CHAN

TIMU ya Taifa ya Tanzania mwezi Aprili itakuwa nchini Cameroon ikishiriki michuano ya CHAN ambayo inawahusu wachezaji wa ndani.

Stars imepangwa kundi D.Ratiba yao ipo namna hii:-

Zambia v Tanzania, Aprili 7 Uwanja wa Limbe saa 11:00 jioni.

Namibia v Tanzania, Aprili 11 saa 2:00 usiku, Uwanja wa Limbe.

Tanzania v Guinea, April 15 saa 2:00 usiku, Uwanja wa Dosala.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...