Kama wewe ni miongoni mwa watu waliotamani kushuhudia mazishi ya mchezaji wa Basketball Marehemu Kobe Bryant na mwanae Gigi taarifa ikufikie kuwa tayari wawili hao wameshazikwa kwa Siri siku ya februari 7.
Taarifa iliyoripotiwa inaeleza kuwa Kobe na mwanae Gigi wamezikwa na walioshiriki mazishi hayo ni wanafamilia pamoja na watu wa karibu sana.
Hata hivyo wamepanga February 24 mwaka huu ndiyo iwe siku mahususi kuomboleza kifo cha Kobe Bryant na Mwanae itakayofanyika Staples Center. (Wamechagua 24 Sababu ni number aliyowahi itumia Kobe Kwenye maisha yake ya kikapu)
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment