Search This Blog

Thursday, January 2, 2020

Wema ajitosa kutoa elimu ya mapishi

Mwanadada ambaye ni msanii wa filamu na kipenzi cha watu wengi Wema Issack Sepetu ameamua kuingia kwenye mapishi na kutaka kuanzisha darasa la mapishi kupitia App yake ya @wemaapp.

 Wema ameyazungumza hayo wakati akifanyiwa mahojiano na  Showbiz,  alisema yeye anapenda kupika na anajua na hujikuta  watu wengi wamekuwa wakisifia chakula anachopika, ameona ni bora sasa akatumia nafasi hiyo kuingiza kipato.

“Hivyo nimeona bora niitumie hii nafasi kuanzisha darasa la mapishi ambalo litakuwa likiruka kwenye app yangu ya @wemaapp kila wiki, kwa hiyo wale mashabiki wangu wa dhati wakae mkao wa kula,” alisema Wema.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...