Mashabiki wa klabu ya Simba wamemshukia golikipa wao namba moja, Aishi Manula baada ya kuruhusu goli mbili kutoka kwa mahasimu wao Yanga SC kwenye mchezo wa lihi kuu Tanzania bara uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment