Search This Blog
Tuesday, January 28, 2020
Statement ya Simba SC Kuhusu Kauli ya Kabwili wa Yanga SC
Ni siku moja imepita toka golikipa wa Yanga SC Ramadhani Kabwili kuituhumu club ya Simba SC kuwa iliwahi kumuahidi hongo ya gari Toyota IST, endapo angekubali kujipatisha kadi ya tatu ya njano katika mchezo dhidi ya JKT Tanzania, ukiwa ni mchezo mmoja kabla ya game ya watani wa jadi.
Kama Kabwili angefanya hivyo kwa madai yake anasema kwa kuwa angekosa mchezo unaofuata kikanuni, kiongozi huyo wa Simba SC aliyemtaka kufanya hivyo aliamini kukosekana kwake kungelazimika Yanga kumchezesha Kindoki ambaye kimsingi kwa wakati huo alikuwa hafanyi vizuri katika soka.
Leo Simba SC imetoa msimamo wake na kueleza kukerwa na kauli ya Kabwili ila haijachukua hatua yoyote kwakuwa, mamlaka husika (TFF) imechukua hatua za haraka kuhusiana na hilo, hivyo kama Simba SC imeliachia mamlaka husika kuhusiana na hilo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment