Search This Blog

Wednesday, January 1, 2020

Simba yaanika viingilio mechi yao dhidi ya Yanga Jumamosi

Klabu ya Simba kupitia Afisa Habari wake, Haji Sunday Manara ametaja viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC utakaochezwa siku ya Jumamosi katika  Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Akiwa na watatendaji wengine kama Mtendaji Mkuu wa klabu, Senzo Mbatha na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga  Manara Amesema viingilio ni Sh. 30,000 VIP, Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 7000 kwa mzunguko



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...