MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni shabiki mkubwa wa Simba SC, usiku wa kuamkia leo ametumia ukurasa wake wa insta kuwaomba mashabiki wwa Simba watulie, kuhusiana na taarifa ya twitter ya mwenyeki wao wa bodi MO Dewji kutangaza kujiuzulu nafasi yake Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, kutokana na Simba kufungwa katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi 2020 kwa goli 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar.
“Matokea ya Mpira huleta furaha na huzuni kwa wanaofungwa. Natoa pole Kwa team yangu ya Simba pamoja na Mashabiki wote na wanaoitakia mema SIMBA. Sina uhakika na kinachoendelea kwenye Ac ya MO kama ni @moodewji mwenyewe ameandika. Nawaomba wanasimba tutulie tutapata ukweli muda si mrefu. Tusisahau kuwa Wapo watu pia wabaya hutumia mwanya huu kuvuruga Amani na utulivu wa Team zetu. Simba nguvu moja.” alisema RC Makonda
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment