Search This Blog

Monday, January 13, 2020

Esha Buheti apata ajari atoka salama

Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie Esha Buheti amenusurika kifo baada ya kupata ajali wakati akiwa safarini, ajali hiyo imesababishwa na ng’ombe aliyekatiza Barabarani .

Esha ameshare video na picha kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuelezea ilivyokuwa mpaka ajali ikatokea licha ya kuwa wote waliokuwa Kwenye gari hilo wametoka wazima licha ya gari yake kuharibika vibaya.

“Asanteni kwa message na simu nyingi sana ila kwa sasa kichwa kinauma sana, ni kweli tumepata ajali ila tumetoka salama"

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...