Search This Blog
Friday, December 27, 2019
Watuhumiwa 20 wa kigeni wa kundi la IS washikiliwa Istanbul
Shirika la habari la Uturuki Anadolu limeripoti kuwa, polisi wanawashikilia wageni 20 na raia mmoja wa Uturuki huko Istanbul kwa kushukiwa kuhusiana na kundi la IS.
Polisi wa nchi hiyo imefanya operesheni kwenye maeneo 48 kote nchini ili kuwakamata watuhumiwa hao ambao wanaaminika kupanga mashambulizi ya kigaidi.
Hata hivyo Polisi bado wanafanya uchunguzi ili kubaini wenyeji wa watuhumiwa hao wageni ambao hadi sasa hawajajulikana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment