Katavi:
Wanandoa wawili walivamiwa usiku wakiwa wamelala kisha kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Desemba 15, 2019 wakiwa nyumbani kwao -
Noel Muswanya (37) na mke wake aliyetambulika kwa jina moja la Siwema (27) walisikika wakitoa sauti ya kuomba msaada majira ya saa 7 usiku wakati wanashambuliana na wauaji hao
Jirani wa marehemu amesema, walitoka nje na mume wake na kukuta watu wamesimama nyumbani kwa marehemu na watu hao walianza kuwarushia mawe walirudi ndani na baada ya muda kelele za kuomba msaada zilikata
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Ahamad Bahema amesema amepata taarifa hizo majira ya saa 12 asubuhi baada ya kupigiwa simu na mjumbe wa eneo hilo
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment