Baada ya uongozi wa Yanga kuahidi kuwa kufikia Ijumaa ya wiki iliyopita majira ya saa 10 jioni watakuwa wamemaliza kulipa madeni yote ya wachezaji wanaodai, taarifa za ndani zinaeleza bado mambo hayajawa sawa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment