New Zealand
Watu 23 wameokolewa huku Polisi ikitahadharisha uwezekano wa kuongezeka kwa vifo katika tukio hilo lililotokea muda mfupi baada ya Watalii kuonekana karibu na mlima huo
Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Jacinda Ardern amesema oparesheni za kuwatafuta manusura zimeanza lakini moshi mkali katika eneo hilo unazuia juhudi hizo
Mlima uliolipuka volkano upo katika Kisiwa kijulikanacho kama 'White Island' maarufu "Whakaari" ikiwa ni moja ya maeneo yenye milima mingi yenye volkano
Licha ya hivyo, Kisiwa hicho huwavutia Watalii ambao huzuru mara kwa mara nyakati za mchana kutokana na kuwepo kwa ndege zinazoendesha shughuli za kitalii
Desemba 3, 2019 Wanajiolojia walitahadharisha kuwa mlima huo huenda ukalipuka kupita kawaida yake, japo waliongeza kuwa kiwango hicho cha mlipuko hakiwezi kuhatarisha maisha ya Watalii
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment