Search This Blog
Friday, December 13, 2019
TANZIA: Mzee Akilimali afariki dunia
Mwanachama mkongwe wa Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia.
Kupitia Ukurasa wa Kijamii wa Msemaji wa Simba SC, Haji Marana amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kuandika "Inna lillah!! Tumeondokewa,,Mwamba ktk Miamba ya kabumbu nchin umeanguka,,Mzee wetu,Baba na Babu yetu,Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Yanga Ibrahim Akilimali katangulia mbele ya haki."
"Poleni familia,Poleni sana Wanayanga hakika huu ni msiba wetu sote na tutashiriki kikamilifu kwenye majonzi haya."
Kwa habari zaidi endelea kufuatilia Muungwana Blog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment