Search This Blog
Monday, December 2, 2019
Rasmi: Selemani Matola aachana na Polisi Tanzania
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umethibitisha kuachana na kocha wake Msaidizi Selemani Matola ambaye amepata ajira katika timu nyingine.
Akizungumza Azam Sports, Msemaji wa Polisi Tanzania, Frank Geofrey amesema wameachana na Matola bila tatizo lolote na wamemtakia kila la kheri katika maisha yake mapya
Geofrey amesema hawatatafuta kocha msaidizi mwingine, kwani Kocha Mkuu Ally Mtuli atasaidiana na kocha wa viungo katika kuiongoza timu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment