Search This Blog

Monday, December 2, 2019

Rasmi: Selemani Matola aachana na Polisi Tanzania


Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umethibitisha kuachana na kocha wake Msaidizi Selemani Matola ambaye amepata ajira katika timu nyingine.

Akizungumza Azam Sports, Msemaji wa Polisi Tanzania, Frank Geofrey amesema wameachana na Matola bila tatizo lolote na wamemtakia kila la kheri katika maisha yake mapya

Geofrey amesema hawatatafuta kocha msaidizi mwingine, kwani Kocha Mkuu Ally Mtuli atasaidiana na kocha wa viungo katika kuiongoza timu.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...