Search This Blog
Tuesday, December 31, 2019
Rais Magufuli Kuwatengua Waziri Kingwangalla na Katibu Wake Endapo Hawatamaliza Tofauti zao
Rais Magufuli amewapa siku 5 za kutekeleza agizo hilo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda
Rais Magufuli amesema kama watashindwa kufanya hivyo atatengua teuzi zao
Akiwa katika Hifadhi ya Rubondo amesema, Katibu Mkuu hataki kumheshimu Waziri na Waziri hataki kwenda pamoja na Katibu Mkuu. Rais Magufuli amesema anawatazama taratibu
Ameongeza kuwa, hawezi kuwa na watendaji aliowateua yeye halafu kila siku wanagombana na mambo ndani ya Wizara hayaendi
18h
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment