Search This Blog

Wednesday, December 4, 2019

Naibu Waziri wa Maji avunja Bodi ya Maji Mji Mdogo wa Geita


Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amevunja Bodi ya Mamlaka ya Maji ya Mji Mdogo wa Geita alipokuwa ziarani Misungwi.

Aidha, ametembelea na kukagua Mradi wa Maji wa Magu na kufurahishwa na ujenzi wa mradi huo uligharimu zaidi ya Sh. bilioni 16.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...