Search This Blog
Sunday, December 8, 2019
Mwanariadha Eliud Kipchoge atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima
Mwanariadha wa mbio ndefu Mkenya Eliud Kipchoge, ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris causa) na chuo kikuu cha Laikipia kilichopo mjini Eldoret Kenya,kwa kuiwakilisha vizuri Kenya Kimataifa katika mashindano ya riadha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment