Search This Blog

Sunday, December 22, 2019

Mtandao wa Wanafunzi Tanzania wajitosa sakata la waliosimamishwa masomo UDSM


Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umeitaka Bodi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kuwarudisha bila masharti yoyote viongozi halali wa DARUSO waliosimishwa masomo kutokana na kutetea haki za wanafunzi, na kuacha kuwa sehemu ya ukandamizaji na uonevu wa wanafunzi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...