Nareel atoa ya moyoni Kuhusu Diamond Platnumz Kujaza Uwanja Huku Sierra Leone
Ameandika haya:
"INGEKUA NI MSANII AMBAE SIO MTANZANIA HAPO, UNGESIKIA WASANII WABONGO MNAKWAMA WAPI? ILA KAFANYA @diamondplatnumz BASI ITS A DIFFERENT STORY, JUZI MWAKINYO (BOXER) KASHINDA TUNASEMA KABEBWA, @samagoal77 ASIPOIFUNGIA TAIFA MNASEMA SIO MZALENDO, WATANZANIA SISI SIJUI NI WATU WA AINA GANI, NDIO MAANA HATA JUZI KILICHOTOKEA KWENYE TAMASHA LA MSANII WA NJE WASANII WA NDANI TUKANYAMAZA #TUJIVUNIE " Nahreel
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment