Search This Blog

Sunday, December 1, 2019

Msanii Nahreel Alia na Watanzania Kwa Kumchukulia DIAMOND Poa...Amtolea Mfano Mbwana Samatta na Mwakinyo

Nareel atoa ya moyoni Kuhusu Diamond Platnumz Kujaza Uwanja Huku Sierra Leone

Ameandika haya:

"INGEKUA NI MSANII AMBAE SIO MTANZANIA HAPO, UNGESIKIA WASANII WABONGO MNAKWAMA WAPI? ILA KAFANYA @diamondplatnumz BASI ITS A DIFFERENT STORY, JUZI MWAKINYO (BOXER) KASHINDA TUNASEMA KABEBWA, @samagoal77 ASIPOIFUNGIA TAIFA MNASEMA SIO MZALENDO, WATANZANIA SISI SIJUI NI WATU WA AINA GANI, NDIO MAANA HATA JUZI KILICHOTOKEA KWENYE TAMASHA LA MSANII WA NJE WASANII WA NDANI TUKANYAMAZA #TUJIVUNIE " Nahreel




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...