Diamond Platnumz Ameandika Haya Katika Ukurasa wake wa Instagram:
"Mama See how much SIERRA LEONE Loves your Son😭😭😭.... 70,000+ STADIUM #SOLDOUT Last Night!.... i can't even Explain how Grateful i am SIERRA LEONE 🇸🇱❤🇸🇱..... GUINNÉ BISSAU we fill LINO CORREIA STADIUM this Saturday Dec 7th🙏🏼.... CAMEROON Douala National stadium Dec 20th 🛸🌍🛸
Kuna Baadhi ya Watanzania Wamezaliwa Kuchukia wakiona Watanzania Wenzao Wanafanikiwa na Kuipa Sifa Nchi...ila hao niachieni Mimi, Nitadeal nao...na Round hii watashusha Viingilio Mpaka viwe shilingi Mia !!...Wambie Jumamosi Dec 7 naujaza Uwanja wa GUINÉ BISSAU... Dec 20th Uwanja wa DOUALA CAMEROON.... half Tareh 25 Dec Naujaza Uwanja wa LAKE TANGANYIKA Stadium KIGOMA!...waje tena kisirisiri kujifunza, kama Walivyokuja ya Dar🙏🏼" Diamond ameandika
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment