Pichani Queen Facard ambaye ni socialite maarufu nchini Ghana katika interview mpya amejitosa kueleza kuwa amelala kimapenzi na wanaume zaidi ya 100 hadi sasa na bado Idadi inaongezeka. Chanzo cha yote amesema awali alituma sana maombi ya kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu lakini akaambulia patupu
Anasema baada ya kutafakari sana na kujitazama akagundua yeye ni wa thamani kubwa hivyo hawezi kulala njaa. Ndipo anasema akaanza kutupia picha za mitego mitandaoni ambapo anasema akaunti yake ikaanza kukua haraka huku wanaume nao wakianza kutupa kete zao kumtaka ndio ikawa hivyo na umaarufu ukamfuata.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment