Search This Blog

Sunday, December 29, 2019

Jaji Mkuu Tanzania Ataka WATU Wasikamatwe Bila Upelelezi Kukamilika


''Mahakama hazipaswi kulaumiwa kwa msongamano wa watu magerezani bali wapelelezi wa kesi. Wapelelezi huchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi. Na sababu za wao kutumia muda mrefu wakati mwingine hazina mashiko. Watu wasikamatwe kabla upelelezi kukamilika,''Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...