Search This Blog
Tuesday, December 31, 2019
Maalim Seif Afungula "2020 ni Mwaka wa Kuing'oa CCM Mazima"
Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema mwaka 2020 ni mwaka wa kuing'oa CCM madarakani na kuwataka wananchi kuweka pembeni tofauti zao ili kufanikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Akitoa salamu za mwaka mpya Maalim Seif amesema wanatarajia kujenga maisha ya raha na furaha kwa wananchi watakaposhika dola na kukuza uchumi wa nchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment