Search This Blog

Tuesday, December 31, 2019

Maalim Seif Afungula "2020 ni Mwaka wa Kuing'oa CCM Mazima"



Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema mwaka 2020 ni mwaka wa kuing'oa CCM madarakani na kuwataka wananchi kuweka pembeni tofauti zao ili kufanikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Akitoa salamu za mwaka mpya Maalim Seif amesema wanatarajia kujenga maisha ya raha na furaha kwa wananchi watakaposhika dola na kukuza uchumi wa nchi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...