Search This Blog

Tuesday, December 31, 2019

TIMU ya Simba Yaufunga Mwaka 2019 Kwa Furaha Kubwa


Klabu ya Simba imefanikiwa kuufunga mwaka vizuri baada ya kuitandika Ndanda FC bao 2-0 katika dimba la Taila jijini Dar es Salaam.

Magoli ya Simba yaliwekwa nyavuni na Francis Kahata dakika ya 12 na Deo Kanda dakika ya 87.

FT: Simba SC 2-0 Ndanda FC

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...